Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,540
We nae umepotea.
Nipo best, mambo yanakwendaje?? nimemiss kitu ya canabis sativa , ntakutafuta hahahahaaa:majani7::majani7::majani7::majani7:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nae umepotea.
Mi ndo mastermind wa MOSSAD. hivyo jipange
Excel yupo tayari kwa lolote juu yako..mfungulie moyo wako aingie..uhusike na world bank moja kwa moja...
Sio charminglady kweli?
Nyi Mentor anataka kuoa...
KOKUTONA my lovely wife-to-be...
Nimekumisi pia, jana nimepita kwenu ila babaako kanipiga biti nisikuone...nikaimba kale kawimbo ili unisikie ila wapiii...
Basi utakuiwa umehamia kwenye kale ka nyumba kako ka Mbezi .....
Ole wako....lol!!!!!!!
Excel mambo....humu mbona ndoa zinavunjika sana tu.......mkuu naweza mention mke wa mtu bana!
sasa naweza taja warembo kama Heaven on Earth, miss chagga, Passion Lady (goodmorning my X!!), ama ladyfurahia, ukakuta wooote wamegandwa!!!
halafu nashangaa hivi humu hamna ndoa zinazovunjikaga??!!! sijaona kabisaa mtu akibebeshwa vyombo!!
Usipite tu hujapata hata wakukuliwaza humu
huku niliko toka asubuh ndo unarud sahz
Bora nyie mgao sie transfoma imeungua karibia mwezi hawajabadilisha
Nukuu"kama bei ya umeme ni kubwa tumia kibatari".
mke wangu kwa kukwaza kwa lipi?
Tuhamieni sola
Yaani wewe ndo mkwe wangu???? kaaaaazi kwelikweli.