Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Do you have a map ?siku hizi watu wanabeba na kuweka ndani tu, lol
Mkuu unataka tuongeze wapiga mizingaa?Unahitaji mpenzi hapa JF au tayari uponae mwonyeshe ni jinsi gani unampenda hapa au kama upo single msubiri hapa au mtag umwambie ya moyoni pia unaruhusiwa kumtongoza hapa hapa kwenye uzi
Chaliakee mtoto nishamshika mkono nampeleka bomani.. [emoji6][emoji106][emoji106]Daaah it sounds so fantastic [emoji23] [emoji23] [emoji23]
I can't wait boo lakini naskia mnakuaga wagumu sana kuuza ng'ombe bora aumwe mpaka afe [emoji23] [emoji23] au utafanya kwa ajili yangu eti?Wow that's my bae. I'll buy you hyundai nikiuza ng'ombe
Mtoa mada asante kwa uzi .
A map, what for??Do you have a map ?
lol, subir hyundai mtoto mzuri, maasai kisha legea huyo.I can't wait boo lakini naskia mnakuaga wagumu sana kuuza ng'ombe bora aumwe mpaka afe [emoji23] [emoji23] au utafanya kwa ajili yangu eti?
Haha..I can't wait boo lakini naskia mnakuaga wagumu sana kuuza ng'ombe bora aumwe mpaka afe [emoji23] [emoji23] au utafanya kwa ajili yangu eti?
actualy that was Inspector Haroon's voice, lolMimi naona soni kumwambia!!!!! aaa ee iii ahhaa Napata pozi nashikwa na kigugumiziiii in Sir Nature's voice
It looks like hapa nilipo nmepotea ,,you shud show me the direction !! Plzzz!!.A map, what for??
He!pia kama unataka mpenzi wa kuchati nae usisite kumwambia hapa
Oyooooooo, mshenga nipo hapa, nisisahaulike siku ya kupeleka mahari,Haha..
Hao ni malayoni ndiyo wako wanabehave ivo. Kwako tena mimi mhudumu chukua menu Agiza ukitakacho nitaleta mezani
Kwahiyo huu uzi umekupa lift....[emoji12] [emoji12] maana ulikua unashindwa uanzie wapi....[emoji13] [emoji13]Hapa Jukwaani sina Mpenzi ila nahitaji sana
Kama kuna mdada/ mwanamama mwenye uhitaji kama wa kwangu aje tuyajenge
hold ma hand, i'll take you somewhere nice and safe, lolIt looks like hapa nilipo nmepotea ,,you shud show me the direction !! Plzzz!!.
Daah asee kweli i can see udhapata mama yoyoo wako mtani !! Ngoja nami nipate mmoja wa kumalizia life [emoji4]Chaliakee mtoto nishamshika mkono nampeleka bomani.. [emoji6][emoji106][emoji106]
Tongoza tongoza, mwisho tutatongoza majini. Yaani unatongoza ID ya mtu!! Hatar sana!Watu skuizi ni mwendo wa body language tuu ,,,,,ngoja waje lakini hawakosekani
maisha magumu basi wajipoze hata na hivi, lol.Nyuzi za namna hii zimesheheni sana siku hizi!
[emoji3][emoji3]Oyooooooo, mshenga nipo hapa, nisisahaulike siku ya kupeleka mahari,
lol, nimeomba mualiko.