Nazurura tuuuuuu. Nikaona nikuite tuzurure pamoja.Shukrani mkuu, ndiyo unaishi mitaa hii?? Nyumba ipi??
Wait tutongozane tutakuja na jibu.Ndio huyu m'badala.?
Nadhani ni joke tu kweli maana hizo comments zake mmh, i think people are just having fun πBinafsi I think it's just an online thing..... a joke.
Anyway kiwatengu ebu mjibu bi dada tupate kujua what really happens.
Seems like fun, yes.ππNadhani ni joke tu kweli maana hizo comments zake mmh, i think people are just having fun π
How have you been lkn Karucee?, long time no see.... herein
Hapa naandaa mistari, nitakuja PMWait tutongozane tutakuja na jibu.
Lol. π€£π€£π€£
Hii wiki sijui nimekuwaje.
Basi vyema sana, naomba uwe mwenyeji wangu.Nazurura tuuuuuu. Nikaona nikuite tuzurure pamoja.
AwiiiiiiiiiiiiiiiBasi vyema sana, naomba uwe mwenyeji wangu.
Lala Karucee i'll talk to you kesho.Awiiiiiiiiiiiiiii
Ofcourse i do mkuu, isn't good to get someone herein?πHa ha ha ha...nikileta ushahidi hapa sijui itakuwaje.
anyway chitchatika. Mrembo!! You want some??
Nipewe nini mie jamani[emoji126][emoji126][emoji126]Basi Mimi nilichelewa kuujua huu Uzi.Ila Nashukuru kuuona tu.Hapo hapo nikakutana na mtu ambaye hakika inaonekana tutaenda sawa.Hebu Espy Naomba tufungue ukurasa m1 Mimi na wewe ukinipa ridhaa ya kunipokea .Nami kwa dhati kabisa ya moyo wangu naahidi kua nawe kwa Hali.Ni hayo tu kwa Sasa