I'm fine too dear, thread is still onπ₯ since 2014, nilikua hata sijui kama kuna Jf aiseeπSeems like fun, yes.ππ
Been good Ma. Thread-hopping from time to time. A comment here and there...
How about you?
Mmh kaongo weweππNipo single!
Nimechoka kuwa single!
So would you be the one , i was waiting for so loongπ nakuhitaji wewe muanzisha uzi au jimbo is already taken?πββοΈIts Good.
Yes very good!!
Hata sijadanganya![emoji39][emoji39][emoji39]Mmh kaongo wewe[emoji3][emoji3]
Mmh tangu 2014 ulikua unanisubiria mimi kweliππHallelujah!! Kila nafsi na iseme Amen.
Na umekuwa single muda sanaaaa sijaonaga hata ukichekewa.Nipo single!
Nimechoka kuwa single!
Kumbe hata wewe umeliona hilo! Nimechoka tu yani[emoji23]Na umekuwa single muda sanaaaa sijaonaga hata ukichekewa.
[emoji23][emoji23]
Natarajia soon hali itabadilika.
I'm fine too dear, thread is still onπ₯ since 2014, nilikua hata sijui kama kuna Jf aiseeπ
Siku njemaa.
Lol.Kumbe hata wewe umeliona hilo! Nimechoka tu yani[emoji23]
Kwani wewe una mtu? Maana hizi mambo hatushauriwi kwenda mbali hata[emoji23][emoji23][emoji23]
Na anavyojiamini huyu mpya akomae tu bila hiyo atayumbishwa π€£π€£π€£π€£ππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈItabidi akomae, kama alivyokomaa yule wako.
Tangazo la Ndoa mpya liwe na nguvu.
Tulia basi...Lol.
Hebu tulia chagua mchuchu.
Tulia mzee, nataka kuopoa kitu hapa wewe [emoji102] uone mwisho mzuri[emoji39]Niko pembeni hapa natizama tu [emoji102][emoji102] rolling [emoji102]
Japo hata ukiringa ringa mie nimeshaamua moja(ko siwezi kurudi nyuma).Lakini hebu na wewe kwa moyo m1 amua tu moja mpendwa @espy.Na hakika hautojuta company na treatment nitayokupa.Hebu Naomba nijibu kabisa huko Mafichoni mpendwa wangu@EspyNipewe nini mie jamani[emoji126][emoji126][emoji126]
Sijui nikukubalie tu sijui niringe ringe kwanza. Au utaghairi?
@kiwatengu kakataza mambo ya mafichoniJapo hata ukiringa ringa mie nimeshaamua moja(ko siwezi kurudi nyuma).Lakini hebu na wewe kwa moyo m1 amua tu moja mpendwa @espy.Na hakika hautojuta company na treatment nitayokupa.Hebu Naomba nijibu kabisa huko Mafichoni mpendwa wangu@Espy