Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Na umekuwa single muda sanaaaa sijaonaga hata ukichekewa.

πŸ˜‚πŸ˜‚

Natarajia soon hali itabadilika.
Itabidi akomae, kama alivyokomaa yule wako.
Tangazo la Ndoa mpya liwe na nguvu.
 
Kumbe hata wewe umeliona hilo! Nimechoka tu yani[emoji23]

Kwani wewe una mtu? Maana hizi mambo hatushauriwi kwenda mbali hata[emoji23][emoji23][emoji23]
Niko pembeni hapa natizama tu πŸ‘€πŸ‘€ rolling πŸ‘€
 
Itabidi akomae, kama alivyokomaa yule wako.
Tangazo la Ndoa mpya liwe na nguvu.
Na anavyojiamini huyu mpya akomae tu bila hiyo atayumbishwa πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈ
 
Nipewe nini mie jamani[emoji126][emoji126][emoji126]
Sijui nikukubalie tu sijui niringe ringe kwanza. Au utaghairi?
Japo hata ukiringa ringa mie nimeshaamua moja(ko siwezi kurudi nyuma).Lakini hebu na wewe kwa moyo m1 amua tu moja mpendwa @espy.Na hakika hautojuta company na treatment nitayokupa.Hebu Naomba nijibu kabisa huko Mafichoni mpendwa wangu@Espy
 
Japo hata ukiringa ringa mie nimeshaamua moja(ko siwezi kurudi nyuma).Lakini hebu na wewe kwa moyo m1 amua tu moja mpendwa @espy.Na hakika hautojuta company na treatment nitayokupa.Hebu Naomba nijibu kabisa huko Mafichoni mpendwa wangu@Espy
@kiwatengu kakataza mambo ya mafichoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…