Kweli tushtuane kakaAcha utani 🤣🤣🤣
Tushtuane mkuu akikatiza yoyote😂🤣😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂
Sawa mkuu 😂😁😁😁😁Tushtuane mkuu akikatiza yoyote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna ubwabwa wa kiga unahangaika ukiona id yangu, hana raha kisukari kinampandaga muda wote.!! [emoji81][emoji81][emoji81]
Nilishamwambia kaka zangu wameoa ila hataki kukubali, sa sijui namsaidiaje [emoji1787][emoji1787]
Kanisusia Toka juzi na no zangu za tigo anazoSasa unakwama wapi na wewe si umwambie mwenyewe
mbona ghafla ivo kuna usalama kwel
Kabisa Odo kwanza upo gudi ?furaha sio kitu ya kujinyima
we niite mrembo afu siku unione live nilivo na mikunjo ya masikitiko mda woteUpo mrembo?
Miamala utaikuta huko huko aposto Hana baya bff 😹😹Mistari gani tena me najua siku hizi
Ni miamala tu shwaaa
Huu uzi ndio nauona leo kwa mara ya kwanza kumbe hii jf ni zaidi ya niijuayoKanisusia Toka juzi na no zangu za tigo anazo
Last seen 2023 itakuwa yupo huyoWakuu miss chagga alienda wap
Uduguu Misago ni kwikwi 😹😹[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]