mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Ngoja aje umuulize,
mbona haji tu jaman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja aje umuulize,
Mpenzi unajua mzee kaanza kukasirika mana bado hujaja nyumbani,,nimekutetea vya kutosha sasa
Hufai kabisa wewe, yaani mie napata taarifa jukwaa la wakubwa kuwa unammiliki mwanangu??? kaaaazi kwelikweli.
mbona haji tu jaman
Good starting....
babe kiwatengu embu mfundishe jamaa ku quote namna hii ujumbe utafika kweli
We Kiwatengu, unanivunjia heshimaMbona jina la kiume?
Dada umeamua kumtongozea au?
Yan hadi ufundishwe loh!!! sasa si utakuwa unanionea aibu tumbona haji tu jaman
Price nashndwa cha kusema cjui Niku pm ndo ujue nakupenda sana nikinywa maji nakuona kwa glass usiku silali nakuwaza ww tu first tym kukuona jf moyo ulinidunda kama kitenesi kipya nikifumba macho naona unaniita pia mimi meneja was m-pesa ni hayo tu nakupenda sanaMmmh! hakika! napendwa na nani tena
Price nashndwa cha kusema cjui Niku pm ndo ujue nakupenda sana nikinywa maji nakuona kwa glass usiku silali nakuwaza ww tu first tym kukuona jf moyo ulinidunda kama kitenesi kipya nikifumba macho naona unaniita pia mimi meneja was m-pesa ni hayo tu nakupenda sana
Dada umeamua kumtongozea au?
Haaa haaa haaaaa! dah! yani kama mwaka 97 vile.. Sasa usiku hulali huwa unafanya nn..?Price nashndwa cha kusema cjui Niku pm ndo ujue nakupenda sana nikinywa maji nakuona kwa glass usiku silali nakuwaza ww tu first tym kukuona jf moyo ulinidunda kama kitenesi kipya nikifumba macho naona unaniita pia mimi meneja was m-pesa ni hayo tu nakupenda sana
Sasa unataka wangapi?