Ndio ni mweupe sana afu mnene huyo πππKwamba ni mrembo wa warembo mbele ya warembo
nilikukataa umeamua unitusi sioMnakula mataputapu mnadhani n watu nyie π
Haha fam kabisa awwww πΉπΉπΉKumbe familia kabisa
Sasa kumbe nimeolewa humu na sijuiπUsife mrembo utakosa mengiπ
Oyaaa ππππMnakula mataputapu mnadhani n watu nyie π
Si ndiooooo πOyaaa ππππ
Naunga mkono hojaSi ndiooooo π
Yani hata sikujua km Kaka yangu naye anampenda ms r sijui hata niwe upande upi?? Mshanichanganya π€£π€£π€£Mbona kila ninapogusa wadau wanagusa?
Toto jeupe linakimbiza gizaAririiiiiiiiiiii ila Njombe mnapapenda aiseee!!
wifi ninaye huu mwaka huu wa Ms R πΉπΉπΉ
Dah c n ww kila siku kunipigia simu kunitaka sasa Mm nmekukataa vp, em ngoja nikupige kiblock ili ukinipgia uongee na huduma kwa wateja πnilikukataa umeamua unitusi sio
Umeanza mambo yako ππππMpenz,niwe mkweli...wanaume karibu wote nimemeet nao kutoka jf ni watu wastaarabu Sana...yaan Sana..... Sijui kuhusu kwa bed huenda wastaarabu vivyohivyo kitu ambacho kingeniboa Sana.But thanks much kwa mwanzilishi wa jf ...hakika nimejifunza mengi
Bado mimi sasa.Mpenz,niwe mkweli...wanaume karibu wote nimemeet nao kutoka jf ni watu wastaarabu Sana...yaan Sana..... Sijui kuhusu kwa bed huenda wastaarabu vivyohivyo kitu ambacho kingeniboa Sana.But thanks much kwa mwanzilishi wa jf ...hakika nimejifunza mengi
Mxiuuu ππππka andazi vileDah c n ww kila siku kunipigia simu kunitaka sasa Mm nmekukataa vp, em ngoja nikupige kiblock ili ukinipgia uongee na huduma kwa wateja π