Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Karibu mkuuUna point utafika mbaliiiii
πππUmetongoza jf yoote... Kuna manzi aliitwa d@rl!n i think so ulitongoza pia... Na gia zako za u dc wa Kisarawe... Niendelee na list...
Doh π€£π€£Umetongoza jf yoote... Kuna manzi aliitwa d@rl!n i think so ulitongoza pia... Na gia zako za u dc wa Kisarawe... Niendelee na list...
Manywele yako yanahusiana vipi na kutongoza??ni haya manywele yangu unaogopa? basi ntanyoa
Asante! Ila situmiiKaribu mkuu
Kwa ndumba nilizonazo hakuna wa kukataaπKibaya wanakukataa...
Mkuu kaushaga tu! Pisi za humu zina wenyewe... mm nilijaribu kwa faiza foxy nikashindwa nasikia mke wa mbunge. Wewe endelea kupanda mnaziKama depal anawaambia hivyo basi atakua anataka nimtongoze kweliπ
Lakini mm namtomgoza depal nimpeleke wapi. Depal si boya tu kama maboya wengineπππ
mimi napenda tu hilo base lako linanisisimuaπManywele yako yanahusiana vipi na kutongoza??
Em shusha mistari naweza kukubali mana nimeambiwa mi mgumu sikubali watu wa JF πππ
Kwa nini haukubali sasa?πManywele yako yanahusiana vipi na kutongoza??
Em shusha mistari naweza kukubali mana nimeambiwa mi mgumu sikubali watu wa JF πππ
Mm ninetumiwa hadi picha yako. Roho inaniuma twenti foo seven! Nakusubiria peponi mana dunian sina hela hiyoπππ wamekudanganya mi wa kawaida, halafu sijawahi kutongozwa na wala sina husiano lolote na watu wa JF.
Pisi zipi hizo?πMkuu kaushaga tu! Pisi za humu zina wenyewe... mm nilijaribu kwa faiza foxy nikashindwa nasikia mke wa mbunge. Wewe endelea kupanda mnazi
Base ndio ninalo km Halima Mdee ππmimi napenda tu hilo base lako linanisisimuaπ
Doh! Kumbe mtoto wa mzee wa kanisa? Basi rejea mathayo 2:30-35 ephen mm nimekuelewa! Twende wote peponiAsante! Ila situmii
mtindi lita 20πBase ndio ninalo km Halima Mdee ππ
Kwahiyo hapo ndio umemaliza?
π³π³ whaaatttt??!!Mm ninetumiwa hadi picha yako. Roho inaniuma twenti foo seven! Nakusubiria peponi mana dunian sina hela hiyo
wewe anakufaa sweetcandyDoh! Kumbe mtoto wa mzee wa kanisa? Basi rejea mathayo 2:30-35 ephen mm nimekuelewa! Twende wote peponi
Hakubali ndio maana anajikuta mh dc... Hana kila kitu... Angekuwa ni jamaa angeingia na gia ye ni Majaliwa...Mkuu kaushaga tu! Pisi za humu zina wenyewe... mm nilijaribu kwa faiza foxy nikashindwa nasikia mke wa mbunge. Wewe endelea kupanda mnazi
Ehhh.!! ππmtindi lita 20π
Ah wapi? Kuna mchizi mpaka anaapia kabisa kwamba hajwahi ona pis kali kama wew afrika mashariki na kati hii.. mm mpaka najisemea diamond platinum simba la masimba dangote linkwwama wapi kutia helaπ³π³ whaaatttt??!!
Picha yangu umeitoa wapi?
Hivi unajua mi ni mtu nisiyejulikana.!! πππ