mshamba_mwingine
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 1,057
- 4,145
maneno mengi ya nini mimi nakutaka bwanaPesa zinapita ila jitahidi zipitie mikononi mwako.!!
Hiko sio kigezo mi nataka unishawishi nishawishike ili nikukubali wale waliosema mi mgumu wajionee.!! πππ
Si umeniita unitongoze? Haya endelea kushusha verse.!! Nipo mwingi leo
Naachaje mkuu nasikia u mtoto wa muheshimiwa fulani pAle domAcha bhangiiiπ€
Mhm sijakusoma pilau linatoa vipi sauti na linanoga aje?Nikiwa natafuna linatoa sauti basi pilau linanogaβΊοΈ
Kawaambie wakupe taarifa za kweliπNaachaje mkuu nasikia u mtoto wa muheshimiwa fulani pAle dom
Huu mwaka wa ngap dogo?maneno mengi ya nini mimi nakutaka bwana
komaa hapo jimbo lipo waziUnaona saaaasa? Hii ni labeling mkuu jf inaamin kila mtu kajipata! Mm hata kutongoza vizur sijajua ndo najarib jarib kwa ephen_ mana nampenda sana na naiman atanipa mtaji
Wewe bado mtoto kwenye hii kazi! Niache na mshamba_mwingineMhm sijakusoma pilau linatoa vipi sauti na linanoga aje?
SawaWewe bado mtoto kwenye hii kazi! Niache na mshamba_mwingine
hili ni swali binafsi sanaHuu mwaka wa ngap dogo?
ushakuwa tejaWewe bado mtoto kwenye hii kazi! Niache na mshamba_mwingine
πkua nyuma ya keyboard raha sanaaushakuwa teja
komaa hapo jimbo lipo wazi
za ndani hizi
Umeona kazi hii mkuu mshamba_mwingine ? Ngoja nijitafute kwa Nyamwi255Wewe bado mtoto kwenye hii kazi! Niache na mshamba_mwingine
ukiambiwa uje nje ya keyboard hutakiπkua nyuma ya keyboard raha sanaa
labda utume hela mkuuUmeona kazi hii mkuu mshamba_mwingine ? Ngoja nijitafute kwa Nyamwi255
Wewe ndiye unajicheleweshaukiambiwa uje nje ya keyboard hutaki
nikufuate kwani napajua huko kwenuWewe ndiye unajichelewesha
Ulisema hutaki mimi bongeπ€nikufuate kwani napajua huko kwenu
πππ unatakaje??maneno mengi ya nini mimi nakutaka bwana
si ulisema unajikondesha?Ulisema hutaki mimi bongeπ€
tukatesti kwanza nanilii halafu tutajuaπππ unatakaje??
Yani unanitaka tyuu km unarequest uber au bolt??