Ha a ha a umenichekesha sana shem, ngoja nifanye kwanza analyis ... kwani Jerrymsigwa ndiyo basi tena au?
hahahahahaha ntakupm
jerry my muchumba nampenda sana jamani mi mtoto mzuri wananiona wananipenda so hamna mbaya Jerrymsigwa hny love u mwaaaaaa!
Nini kimekugusa mke wa mtu...
nn tena
mbona me simwingilii kwenye mapenz yake zaid ya yy kunitia wvu
kumbe yupo chuo nishaghail ctak yaliyonikuta mwanzo na mwanafunz ya chuo yajirudie tena
Anakutamanije?
mtongozo live kwako haufai pm ndo kuzur hata nikijamba hasikii mtu zaid yako ww tu
Hahahaha kulikoni
hahaha basi tunatamaniana halafu wote tuko kwenye ndoa ndoana
Hahahah umenikumbusha kuna mtu analalamika kule mmu mke wake anamjambia makusudi.nimecheka sana
hahahaha nimepitia hiyo nyuzi nimechekaje kama sio kudhalilishana ni nn
Anakutamanije?
Teh uzuri hakuna anayemfahamu ndo maaana yupo huru kuongea pengine ni stori tu ametunga.