hii sread imenishtua usingizini nilikuwa nimelala kiwatengu unasema...?Mistari yako tu mkuu..hakuna lisiloshindika hapa..
Huyo Evelyn Salt alikuwa na ndoa aliolewa na Slave sina uhakika kama wameshaachana au la...
wewe jaribu kurusha vocal kwa huyu mrembo Preta
Unaweza kujibebea..
Good lucky mkuu.
nitongozee kakaSina usemi ndugu yangu..tongoza mtu
nadhani umesikia.Nategesha maskio kwa makini
sawa wa ubani.
Niliangalia Avatar yako na niliposoma na hadithi ya MziziMkavu usiku si nikakuota! Nikaona siwezi kukaa kimya nikulipe HeLa yako.
Haya banaa. Naona tunakumbukana wakati wa shida tu ila raha unakula na wengine,poa mamsap!
mwaaaaaaaaaaaaaaaaah!!!!!!!! nitangaze kwa sauti basi mpenzi.Hakuna mabadiliko boss.
kweli....?Sijui ndiyo
mwaaaaaaaaaaaaaaaaah!!!!!!!! nitangaze kwa sauti basi mpenzi.
huyu Honey Faith anapenda kudanganywa, muoche nimkomeshe.....kabanga njoo kamanda ufanye yako hapa....
Ha ha ha haaah!! Wamesikia maana nimepiga sana kelele, wala usihofu juu ya hilo mpenzi.
c.c: @Kiwatengu
ahsante mpenzi, tena nimeona kuna watu wanakumezea mezea mate. nitawaufoo saro.... ooohoo.
eeeee sasa fanya utaratibu ulipe party watu wawili chap chap sana
Hahahaahaha
Unadhani nikitaka kumchukua ninamchukua mbele ya wife?
mwache aje tu hakuna matata