Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 766
Sijui hata nimpende nani wako mafungu!
Funguka banaa,mwaga sera ni zama za uwazi ukichelewa shauri yako anafika tu unaambiwa mwenzako kawahi sekunde chache zilizopita....teh teh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui hata nimpende nani wako mafungu!
Mafungu kivipi...!!
ha ha ha haaah!! Kumbe mafungu hayo eeeh..!! Kweli kabisa.Yale ya nyanya mkuu, kuna nyingine unakuta zimeoza na nzima humo humo.
Mmmh! Nisijezua ugomvi bhana.Sasa kama ni kweli ni mafungu yapi yaliyoharibika?
...............!!!!!!!!!!!!!!!!Acha uchoyo banaa....
Eeh baba watoto naniliuuu sijui yuko wapi,tuje ku'lavidavisha hapa
Hayupo! Yuko kwa bi mdogo, ila usihofu mimi nipo, hujambo lakini?
Kha.....hivi kumbe kimeondolewa, tuandamane.Hivi kile kikasha cha like kimekwenda wapiii???
:A S kiss:
Dah mi nikajua ni kwangu tu lolHivi kile kikasha cha like kimekwenda wapiii???