Hivi kile kikasha cha like kimekwenda wapiii???
Dah mi nikajua ni kwangu tu lol
Vip umeamkaje kipenzi changu?
Chokonoa chokonoa utakiona tu.....na pindi ukikipata anza kugonga kwangu teh teh!
jamani nahamu ya kuambiwa maneno matamu matamu.
Heloooooooo is there anyone here??
Kha.....hivi kumbe kimeondolewa, tuandamane.
watakuwa wanafanya marekebisho.Hayo maandamano yawe ya amani...au labda wanafanya marekebisho
jamani nahamu ya kuambiwa maneno matamu matamu.
Heloooooooo is there anyone here??
HahahahaaaKumbe ruksa mkuu. Ngoja nianze kutembea na super glu,kifanyio kikinyofolewa nakigundisha tena.
Mie mzima kabisaaaaasio nzuri shem, sijakutia machoni kitambo mno. mzima lakini?
MwaaaaaaaahNakutizama tu...endelea
Mwaaaaaaaah
Baadae tutatoka out kipenzi eeh siunajua nimemiss kukuona!
Hahahahaaa
Itakula kwako hadi ushangae
watakuwa wanafanya marekebisho.