Can you help me to point some one maana mm sioni heb taja hata jina nimsake maana vizuri vyatafuta ati!
Hah! kwani wako wkt anakutafuta alilipa dola ngap?Utanipa dollar ngp
Ngoja niingie msituni na AK47 najua nitampata nitakuja kuwasilisha maana waswahili wanasema ukiona mwenzako analia ungana naye then utajua baadaye sababu ya kulia kwake kuliko kuanza kuuliza sabab maswali ambayo yatamuongezea uchunguMkuu hapa ni papana sana, hebu jaribu kucheki huwezi kosa.🙂 hebu angalia hata kwenye majukwaa mengine, afu ukipata mtu mlete hapa...
Hah! kwani wako wkt anakutafuta alilipa dola ngap?
Ngoja niingie msituni na AK47 najua nitampata nitakuja kuwasilisha maana waswahili wanasema ukiona mwenzako analia ungana naye then utajua baadaye sababu ya kulia kwake kuliko kuanza kuuliza sabab maswali ambayo yatamuongezea uchungu
Mi nakumbuka.. alikupa nanilio
Kusaidiana ni vidhuri ujue ww kama unajua kuna ndege hana kiota niambie nikamtengenezeeEbu ngoja akirud nimuulize,
Eti eee!Fanya hivyo mkuu..mapenzi matamu sana
Kusaidiana ni vidhuri ujue ww kama unajua kuna ndege hana kiota niambie nikamtengenezee
Naogopa ugomvi bwana ww si uko occupied na some body humuBora untengenezee mimi
Jitahidi uje aiseeee ...!!!!!!!!
u want to occupy some one?
hebu mlete hapa tuone ni jinsi gani twaweza kuyaset mambo.
Naogopa ugomvi bwana ww si uko occupied na some body humu
mambo wapendwaaa
Mkubwa mambo vipi? Ulipotiea gafla...