mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Poa mpendwa,welcome tu the word
pamoja sana.. Pole kwa majukumu
Utanipa dollar ngp
sijui wanaamuita nani nimeona hapo juu,mke wa mtu sumu ndugu yangu kwani kiota ulichotengenezewa hakikutoshi mpaka unataka na mimi nikutengenezee wakat kuna wenzako hawana kabisaNa nani???
hahaha majukumu mkuu ila nipo one lv mkuu
Daudi mwaga dollar Vale huyo sasa !
sijui wanaamuita nani nimeona hapo juu,mke wa mtu sumu ndugu yangu kwani kiota ulichotengenezewa hakikutoshi mpaka unataka na mimi nikutengenezee wakat kuna wenzako hawana kabisa
Jamani mbona unanitega ujue wewe ni mke wa mtu et! tukifumaniwa ujue mimi ndo nitapondwa mawe naogopa mtoto wa watu halafu kuanza kuishi vibaya na majirani kisa wewe jamani..... kwani unakosa nini kwake mpaka unanitaka na mimi?Sasa kwani we utamwambia jamani?? Ebu nipe upendo ili kwako nijidai..
We si useme2 ukwel kwamba.....
Na nani???
Jamani mbona unanitega ujue wewe ni mke wa mtu et! tukifumaniwa ujue mimi ndo nitapondwa mawe naogopa mtoto wa watu halafu kuanza kuishi vibaya na majirani kisa wewe jamani..... kwani unakosa nini kwake mpaka unanitaka na mimi?
hahaha waambie basi kwamba tulikuwa fungate ya mm na ww
si useme tu?
Kwani we humjui?
Eeeeeh!Heheheee,mwanaume haogopi bhana
Eeeeeh!
Sasa unashangaa ama umekubali?
Omba ruhusa kwanza nikiwa nakusikia akikuruhusu nitakutengenezea kiota kizuri tena cha kudumuSasa unashangaa ama umekubali?
Omba ruhusa kwanza nikiwa nakusikia akikuruhusu nitakutengenezea kiota kizuri tena cha kudumu