Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Vigezo nimekidhi mama pls moyo wangu unapata shida juu yako naomba uwe tulizo la moyo wangu mtoto masikio hayachoki kusikia sauti yako hakika mungu alifanya upendeleo juu ya uumbaji wako,nahisi mwenye bahati ya kukutana na wewe binti mrembo pls come on nataka uwe wangu tena wa maisha....
Yetu macho..ila mie nawatakia kila la kheri
Umegundua mimi mdhito eeeh
Nlikua nakupima nione uzito wako
Nahisi kuchanganyikiwa juu yako mama,kuhusu mimi nina urefu wa futi 5.6 kwa rangi ni mweusi wa kawaida,ni mcheshi napenda kuonea na watu kufurahi pamoja,kujituma ndo kauli mbiu yangu katika kila nifanyalo any ting you want to here from me? sema mama usiogope jamani nataka uwe wangu na niwe wako na uma utambue hilo pls usiniangusheHahahahaaa naona unashusha tu mistari. Sasa ukiniona si utalia wewe kama nikisema sitaki hahahaaa. Mi sipendi kumuumiza mtu atii, useme wewe ulivyo
Wewe ulitaka nikukubalie ili uone kuwa ni mzito? nimekwepa vishawishi vyako wake za watu noma acha na mimi nipate wangu...........Mzito wap wakati we mwoga
safi safi, uko vizuri hapa akija kupasoma patamlegeza kabisaNahisi kuchanganyikiwa juu yako mama,kuhusu mimi nina urefu wa futi 5.6 kwa rangi ni mweusi wa kawaida,ni mcheshi napenda kuonea na watu kufurahi pamoja,kujituma ndo kauli mbiu yangu katika kila nifanyalo any ting you want to here from me? sema mama usiogope jamani nataka uwe wangu na niwe wako na uma utambue hilo pls usiniangushe
hi wewe uliye wa kwangu.
i have the womani i love miss chagga
Heeee 'valentina' anajua hili kweli?i have the womani i love miss chagga
Hahahahahaaa jitundike tule ubwabwa mke mwenzio huyo kwani ulikuwa haujuiWhaaaaaaaat!! Najitundika sasahv
Huyu mrembo simuachi ameshanichanganya hapa nakesha hapa hapa namsubiri acha baridi linipige tu maana mchumia juani hulia kivulini ila mpaka awe ametengeneza hicho kivulisafi safi, uko vizuri hapa akija kupasoma patamlegeza kabisa
Whaaaaaaaat!! Najitundika sasahv
Huyu mrembo simuachi ameshanichanganya hapa nakesha hapa hapa namsubiri acha baridi linipige tu maana mchumia juani hulia kivulini ila mpaka awe ametengeneza hicho kivuli
Ni nini tatizo kijana.
Goodnight chocs
Usiwe na haraka jamani mambo mazuri hayahitaji haraka et!
Namsubiri aamke mimi nimesha hapa nje mlangoni kwao maana ameshanichanganya tayariFanya fanya mambo kijana ohoo
Chelewa chelewa utakuta mwana si wako!