Namsubiri aamke mimi nimesha hapa nje mlangoni kwao maana ameshanichanganya tayari
Jirani upo!!
Huyu kimwana lazima awe katika miliki yangu aisee.... nimejitoa mhanga kwa ajiri yake
Eti eee asante kwa kunipa moyo aiseeKila la heri utafanikiwa tu
Ooohh atlist my brieth is back...u no wat huny, u r the sourse of my happiness. Mwaaaaaaaaaaaahh!!!
Umeshachelewa hadi nimejiunga na utawa mwenzio!
Kila la heri utafanikiwa tu
glory to our love.
Ayaaa..usinifanyie hivyo plz baby..
Eti eee asante kwa kunipa moyo aisee
Unanichukia nimekufanyia nini? wewe si tayari uko occupied jamani acha na mimi nipate barafu wa moyo,nitakapo pata joato aje anipepee..... kwa maneno matamu maana sauti yake si mchezo jicho akikuangalia utafikiri anakuita akitembea kwa madido unaweza ukasahau safari zako ukawa unamfuata ana umbo la kibantu wala hatumii mkorogo rangi yake ya asili pls Bantu lady come thisi way I need you plzzzzzzz!Mitongozo yazidi kunoga apa,ila uyu Daudi1 nna hasira nae huyu
Thanx a lot my dia
Ndo hivyo jamani kwanini wewe usiende seminari?
Hahhahaha best unampaje moyo.
Karibu tenaa...ndoa sasa ifungwe
Mkubalie tu mi namfahamu huyo yuko vizuri kila idara