Yaani nakuahidi nitakujari mpaka utamsahau! Ukipiga chafya tu nakupeleka South Africa kutibiwa, ukikohoa tu India, ukinuna tu namleta Mr. Bean akuchekeshe.
Hahaaaa,u r so funny
Nyani Ngabu & Karucee (uknown but ipo.)
Bado,we mbona hutongozi??
you know,...like...u see
i mean yan, unajua mimi yan.....:A S 13:
Subir basi kagiza kaingie,siunajua tena wanoko ni wengi
leo unakataa! upande wa pili mbona ulishakubali?
inaweza kuanza kama uzushi vile vile..