Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hee kumbe ulikuwa na maana hii?
We mbona mbeya jamani??lol
Ruksa ya nn tena kwa milk shake haikufanya kazi
Nimeambiwa nisiingie huko, naskia raha sana kumiliki miss!
Hahahaaha kwa raha zako mi nasubiri kuja kutoa dhamana police
Aga kabisa nyumbani Kuwa hautarudi, we waambie kuna semina ya tathimini ya hali ya hewa kulingana upepo mkari wa Jana usiku.
Aise bonge la ujanja umenipa
Mambo ni poa kabisa,hamuna mbaya
Unajua matokeo yakunywa milk shake wewe, haya nenda utajaniadithia
Safii mtongozano wangu na wewe nitaanza saa 3 kwa hiyo usilale mapema leo sawa baby?
Napiga simu kwa babu Pangani akushushe mshipa kilo 5 kabla ya saa Tatu.
Kwa upole wa huyu mtoto siogopi busha tena yeye anazimia busha mbaya utakuwa umeniboreshea zaidi
Safii mtongozano wangu na wewe nitaanza saa 3 kwa hiyo usilale mapema leo sawa baby?
Mwenzio nna allergy na kitu inaitwa mtongozo
Mwenzio nna allergy na kitu inaitwa mtongozo
Mwenzio nna allergy na kitu inaitwa mtongozo
Ukisia mambo ya mtongozo unasisimuka nini?kama ndio aaah leo nitakusisimua sana!