Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Hahahhaaaa nayeye kafuata nini huku huyu mume wangu. Ngoja leo atanieleza vizuri chumbani nishambadilishia kibao.
Alikuwa anakuja kuangalia kama kuna uwezekano wa kupata nyumba ndogo wewe ulikuwa unafuata nini?
 
Hahahhaaaa nayeye kafuata nini huku huyu mume wangu. Ngoja leo atanieleza vizuri chumbani nishambadilishia kibao.

Mimi huwa najiuliza siku nimeenda hotel na mpango wa nje, kisha nakutana na wife anapiga kazi za nje, hapo nani amemfumania mwenzie?!.
 
Alikuwa anakuja kuangalia kama kuna uwezekano wa kupata nyumba ndogo wewe ulikuwa unafuata nini?

Weee unamwaribia mwenzako hee atafute nyumba ndogo??? Muulize kama ana hata hamu hiyo hapa kafika.
 
Weee unamwaribia mwenzako hee atafute nyumba ndogo??? Muulize kama ana hata hamu hiyo hapa kafika.
Wpi kafika wakati alikuwa anapumzika tu,unafikiri alikuja kutafuta nini huku sasa,na wewe huku unatafuta nini au wewe haujafika?
 
Wpi kafika wakati alikuwa anapumzika tu,unafikiri alikuja kutafuta nini huku sasa,na wewe huku unatafuta nini au wewe haujafika?

Mimi inaonekana wazi nimekuja kumsaidia Rich Pol apate mke, namuonea huruma sana amehangaika sana.
Mimi nimefika kabisa kwa Sungura1980.
 
Mimi inaonekana wazi nimekuja kumsaidia Rich Pol apate mke, namuonea huruma sana amehangaika sana.
Mimi nimefika kabisa kwa Sungura1980.
Na wewe ndo umesababisha mpaka anapata shida ulikuwa unamuharibia kila akianza harakat then ukamtema msaidie mpaka apate
 
Na wewe ndo umesababisha mpaka anapata shida ulikuwa unamuharibia kila akianza harakat then ukamtema msaidie mpaka apate

Haaa tena yamekuwa hayo? yeye mwenyewe alinipenda nilikuwa nikimjibu vibaya sana ila yupo tu. Tatizo lilikuwa yeye mwenyewe kufa na kuoza juu yangu mpaka akahisi eti nimemfanyia kitu.
 
Honey faith please hebu muhurumie Rich pol uwe naye, kijana kahangaika sana sana, anaingilia mpk ndoa za watu. Mimi alikuwaga jenereta langu zamani sana kwa mapenzi niliyompa akawa hasikii haambiwi juu yangu.
Ila baada ya kuona kaniganda sana na ndoa yangu kunusurika kuvunjika nikampiga chini.
Sasa tangu hapo anahaha tu.

Hooooooney alikuwa ananifuatilia tu ili awe jenereta kipindi haupo, ila nilimkataa siwezi nikakusaliti si unajua navyokupenda sana?

Mmmh hizi sentensi mbona kama tofauti!Sweet nimekufunga king'amuzi ukiingia tu huku lazima nijue!
 
Haaa tena yamekuwa hayo? yeye mwenyewe alinipenda nilikuwa nikimjibu vibaya sana ila yupo tu. Tatizo lilikuwa yeye mwenyewe kufa na kuoza juu yangu mpaka akahisi eti nimemfanyia kitu.
Na wew ulikuwa hautaki apate jiko mwenzio
 
Huwezi ukakausha mbona hiyo inaonekana kabisa ila alikuomba msamaha kwamba anaacha michepuo na kubaki njia kuu i hope ulimsamehe

Mmmh Daudi1,duhh ngumu kumeza!Ngoja nirudi chumbani tuongee vizuri na wife
 
Last edited by a moderator:
Mtakuwa mmefumaniana na kesi inakuwa closed.

Case closed??! Inategemea pengine amemaliza anatoka mimi ndiyo nafika, unafikiri nitaingia tena? Na mgegedo utanywea kana kuna baridi la 90-c hapo kuna case.
 
Mmmh hizi sentensi mbona kama tofauti!Sweet nimekufunga king'amuzi ukiingia tu huku lazima nijue!

Wewe jali tu kuwa nakupenda hapo ulimi uliteleza tu my king.
Sipendi uwe na mawazo yoyote juu yangu mimi nimetulia sana kama unijuavyo.
Moyo wangu na mawazo yangu yote yako kwako.
 
Back
Top Bottom