janeth1
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,151
- 768
Usiwe na shaka me hata sijasikia
hahahahahaaa chezea mama kijana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwe na shaka me hata sijasikia
hahahahahaaa chezea mama kijana..
Mmmh kweli eeh? Bas njoo badae tuongee mkwe
hope mama mzigo wako ulikufikia! so lazima sana watt wakajua ila ni Vema ukawaambia kuwa mm ndo shemeji yao!
we mama unadai hadi mafuta?
haya babemiss you my love...
rudi haraka naugua kwa ajili yako mpenzi wangu
i will wangumiss you my love...
rudi haraka naugua kwa ajili yako mpenzi wangu
Sasa baba unatuma gari tu na mafuta je? Ntaweka mate?
Hayo mambo yenu ya cheki mi siyajuagi kabisaa....nitumie tigo pesa tunakuandalia cheque ukajitolee mahela mama!
Hayo mambo yenu ya cheki mi siyajuagi kabisaa....nitumie tigo pesa tu
Sasa gari inatembeaje bila mafuta atii...na hela ya service pia asisahau
Mkwe salaam
Haaa nimeipenda hii
Hahahaha....ipende tu na wewe uanze kuifanyia kazi. Usijidai kwa vile wewe umeshaweka ndani unaweza kunyang'anywa pia
Haaa nimeipenda hii
shkamoo mama! Miss you, nitakuja kuwasalimia weekend na mkwe wako.
nakuandalia cheque ukajitolee mahela mama!
shem kwema?
Marhabaaa my precious daughter....mwambie mkwe msisahau na kale ka mil 5 nilikomuomba....