Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Si kweli Mtani 😀😀BTW hatutachekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweli Mtani 😀😀BTW hatutachekana
Waje wachukue point.. ila ubingwa kwetu ndio kipaumbele... Huko kwenu sijui malengo ni nini?Kumbuka huyo biashara bado huna mechi naye hapa DSM. Hebu msaidie kabisa asishuke daraja ili wale wa Bweri, kyamaoje, hadi kiabakari waendelee kufaidi TPL kwa raga zao, otherwise FDL inawahusu sana, Fanya hivyo kama we mzalendo.
Pesa haichezi mkuu Acha mawazo yenu eti tunanunua mechi.Siyo kupigwa mbele na nyuma hivi hivi wakati pesa unazo, huna njaa mkuu
Soma jina LIPULI' kwa kutoka mwisho kwenda mwanzo... kazi mnayoWanajua kumpiga Simba katerero safiiii,
sema mkuu
Nawe piaPole.
Daah yani acha tu mtani hawa kagera wananisononesha sana, kila siku wanatufunga tu natamani washuke daraja ili tuondokane nao. SHABAAAASH 😀😀Nimecheka kwa sauti Mtani. Maana umekuwa mnyonge zaidi yangu. 😀😀😀😀
Nilishapoa. Ila nina hakika we bado hujapoa Mtani. 😂😂.Nawe pia
Hahahaaaa. Pole sana Mtani yaani mara tatu anawaburuza tu hapo Taifa.Daah yani acha tu mtani hawa kagera wananisononesha sana, kila siku wanatufunga tu natamani washuke daraja ili tuondokane nao. SHABAAAASH 😀😀
Ahsante sana Mtani yani hawa jamaa wametuzoea wanatufanya sisi Babu yao, ila siku yao inakuja.Hahahaaaa. Pole sana Mtani yaani mara tatu anawaburuza tu hapo Taifa.
Nawaza Mtani hivyo bado mtakabidhiwa kombe mechi na Sevilla?
Duuh! Mechi tatu kigongo hizo Mtani.Ahsante sana Mtani yani hawa jamaa wametuzoea wanatufanya sisi Babu yao, ila siku yao inakuja.
Ndio hilo linawezekana Mtani kumbuka tunahitaji point 9 kwenye michezo yetu mitatu ijayo dhidi ya Azam, Mtibwa na Ndanda.
Simba nguvu moja
Simba bingwa
Ni kweli mechi ngumu lakini naamini hatutarudia makosa.Duuh! Mechi tatu kigongo hizo Mtani.
Haya wacha nisubirie nione mtakavyoziopoa hizo alama tisa.
Kisa umeona kwa asilimia kubwa sina cha kuambulia Mtani ndio wanitakia kila la kheri. Lol.Ni kweli mechi ngumu lakini naamini hatutarudia makosa.
Sawa Mtani namitakia kila la heri kwenye mechi zenu zilizobaki. 😜😜😜😜😜😜😀😀
Hahaha hamna Mtani mbona unakata tamaa mapema hivyo, kumbuka lolote linaweza kutokea, vipi kama Simba akipoteza mechi zote zilizobaki na wewe ukashinda zote (japo ni kama kumfariji mgonjwa 😛)sasa huoni Yanga wanaweza kuwa mabingwa?Kisa umeona kwa asilimia kubwa sina cha kuambulia Mtani ndio wanitakia kila la kheri. Lol.
Haya bana Mtani ila naganga ya msimu mpya wa TPL sasa Mtani huu nimekuachia ujimwae mwae.
Ungeendelea kutuhabsKocha tunamuambia kila siku Zana sio mchezaji. Haya sasa
Hapana Mkuu mmekutana Mara 12, draw 2 mmewafunga Mara 5 na wamewafunga Mara 5.Wanalipiza tulivyokua tunawafunga, tushakutana nao mara 18 tukashinda 9 tukafungwa 3 Droo 6
Nakataa fuatilia vizuriUngeendelea kutuhabs
Hapana Mkuu mmekutana Mara 12, draw 2 mmewafunga Mara 5 na wamewafunga Mara 5.
Nakataa fuatilia vizuri
Sawa chanzo chako kitakua sio updatedFuatilia wewe mimi Nina uhakika Mkuu