LIVE: Tanzania Primier League (TPL)... Simba SC dhidi ya Kagera Sugar moja kwa moja kutokea uwanja wa Uhuru, Dar es salaam.

98' Simba wanakosa nafasi ya kusawazisha dakika ya mwisho ya mchezo, na muda wowote mpira unaweza kuisha
 
mimi binafsi namuomba "MO" fukuza huyo Zana msajili hata Salum Kimenya au mrudishe Miraji Adam aliyecheza simba ya vijana. Kwanza dau lao litakuwa dogo kuliko la Zana halafu itasaidia kuongeza nafasi ya moja ya mchezaji wa kigeni. Kama kocha atang'ang'ania Zana asiondoke basi bora aondoke yeye tutafute kocha mwingine kuliko hii aibu ya kila siku. Huyo Zana ni uchochoro kuanzia champions league na mpaka ligi ya ndani wameshamjulia.
 
99' dakika 90 zimekamilika kutoka uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam.

timu ya Kagera Sugar imeondoka na points zote tatu.

tukatane wakati mwingine.

Asalaam Aleyqum.
 
Najiuliza Kocha huwa anatumia vigezo gani kumuweka huyu,maana kila mtu anasema lile chocho iweje yeye pekee aone kile ni kifaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…