XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Ni ule wakati uliokuwa ukisubiriwa na wengi Tanzania na Afrika kwa ujumla, ni Simba vs Horoya AC, Caf champions league hatua ya group stage.
Mchezo unatarajiwa kupigwa majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za guinea na saa 1:00 jioni kwa saa za Afrika mashariki.
Je ni Horoya au wageni Simba watakao ibuka na ushindi kwenye mchezo huu wa leo, ungana nasi kwenye Uzi huu kwa live update zote za mchezo.
Mchezo unatarajiwa kupigwa majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za guinea na saa 1:00 jioni kwa saa za Afrika mashariki.
Je ni Horoya au wageni Simba watakao ibuka na ushindi kwenye mchezo huu wa leo, ungana nasi kwenye Uzi huu kwa live update zote za mchezo.