LIVE UPDATE TPL 15/9/2018

LIVE UPDATE TPL 15/9/2018

Ama kweli kauli ya Aden Rage bado kazi kuwa "viongozi wa simba na mashabiki wao ni mambumbumbu...!! Hizo kwenye hizo mechi tuambie yanga mwenyeji mechi ngapi na mgeni mechi ngapi..??? Na katika hizo timu ngapi kati yake zinatumia uwanja wa taifa kama uwanja wa nyubani..???au zitafutie viwanja vingine timu kama African lyon, kmc na jkt zilizoomba kutumia uwanja Dar. Ukiambiwa kitu na manara tumia na akili zako co kukurupuka tuu...!! mbayuwayu
Punguza jazba nilikuwa nawatania tu Watani wangu wa Yangayangu.
 
Back
Top Bottom