Live Update VPL: Simba SC Vs Kagera Sugar / Mwadui FC Vs Azam FC


Ongereni Sana Hata Majungu Mnayaweza.
 
Zisubilieni nyingine nying zaja

Atawafunga Haohao Wavimba Macho Lakini Sio Kwa Wana Jangwani.Kama Uamini Iangalie Tena Backline Ya Timu Ya Taifa Iliyoisimamisha Nigeria.Kiiza Atapita Njia Gani?.Husijitoe Ufahamu Kila Mtu Ajue.
 
Goli la Pili shukrani ziende kwa mshika kibendera
 
Sasa mbona zile 20 alizopewa Diego atazifikia keshokutwa tuu, yaonyesha Yanga tatizo ni mfumo!
 
Atawafunga Haohao Wavimba Macho Lakini Sio Kwa Wana Jangwani.Kama Uamini Iangalie Tena Backline Ya Timu Ya Taifa Iliyoisimamisha Nigeria.Kiiza Atapita Njia Gani?.Husijitoe Ufahamu Kila Mtu Ajue.

Ukuta wa stars unaonekana bora sababu ya yule beki tatu wa Azam na Beki mbili wa Azam, huyu dogo aliyekuwaga simba! Kati Nigeria walikuwa hawapitii, walikuwa wanajaribu sana kupita pembeni sababu kati palikuwa pamejaa. Hivyo mabeki wa kati hawakupata test ya kutosha, testi walipata wale madogo wa pembeni na walifaulu! Namkubali Nadir haroob ila sio Kelvin na Barthez! Hawa wawili ni uchochoro!
 
Okei, toa hilo, zinabaki 2-1, mbili za Kiiza na bado top scorer! hapo je? umerodhika?

Ndorobo Nyie!.Mechi3 Mmeshaanza Kumwita Topscorer!.Topscorer Wa Vpl Anaamuliwa Jangwani Nani Awe Topscorer Msimu Huu.Arudi Msuva Au Akae Ngoma Au Tumwachie Mwashihuya.Huyo Kiwete Wa Mikia Hawezi Kua Topscorer
 
Ndorobo Nyie!.Mechi3 Mmeshaanza Kumwita Topscorer!.Topscorer Wa Vpl Anaamuliwa Jangwani Nani Awe Topscorer Msimu Huu.Arudi Msuva Au Akae Ngoma Au Tumwachie Mwashihuya.Huyo Kiwete Wa Mikia Hawezi Kua Topscorer

Itawauma sana kila mechi kiiza anatupia
 
Kama Safu ya Ushambulizi ya Kagera Shuga iliwasumbua hivi, sijui wakina Tambwe na Ngoma mtawaweka wapi?
 
Pape Ndiyaaaaaaauuuuuuu!

Huyu nae hana Tofauti na MWAIKIMBA.
 
Hongera mabingwa watarajiwa. Msimu umeanza vizuri sana ..
 
..yeboyebo get prepared...!
mnyama hanunuliwi, jumamosi lazima mvikalie viwili km kawa...

Fowadi nani?


Papaa Ndiayeeeeeee au Ajibu? 😂😂😂

au Bqbu Kiiza.
 

mkuu Fullbeki Ya Kushoto Alicheza Mwinyi Haji Au Unajitoa Ufahamu Kwa Makusudi.katika Ukuta Wa Stars Ukimuondoa FullBeki Wa Kulia Shomari Kapombe Wa Azam.Waliobaki Wote Mpk Goli Kipa Ndo Backline Ya Yanga.Fullbeki Wa Kushoto Mwinyi Haji Amesaini Yanga Kutoka KMKM.Mikia Mnapenda Sana Kujifanya Hamnazo.
 

Mkuu umenipa raha sana,nilidhani wewe ni popoma lakini leo nimegundua siye.
Pamoja sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…