Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
hivi yule jamaa wa kulialia wa azam sijui Ndio stivu azam Bado huwa anakwenda kuisapoti azam viwanjani kweli? nahisi huwa anataman kurudi YANGA ila anashindwa aanzie wapi
Yule alivuta mpunga biashara ikaisha. Siku ya mechi ya ngao ya jamii Yanga 3-0 Azam alionekana mwenye furaha mno na hakuwa na simanzi, kamasi wala machozi usoni mwake.