Awadh Juma anatutoa kimasomaso hapa. Simba 1-0 Villa.
Lile goli sijaliona siku nyingi sana mchezaji wa Kitanzania akifunga...
Kanikumbusha sana Salvatory Edward alipoifungia timu ya Tanzania Bara michuano ya Castle...
Mimi nilikuwa nasikiliza radioni, nadhani litakuwa kama la Sunday Oliseh, huu moto sijui tutaenda nao hadi ligi kuu au itakuwa kama mwaka jana. Mungu saidia mwaka huu uwe ni mwaka wa mafanikio kwetu.
Lile goli sijaliona siku nyingi sana mchezaji wa Kitanzania akifunga...
Kanikumbusha sana Salvatory Edward alipoifungia timu ya Tanzania Bara michuano ya Castle...
Vp matokeo??Wazee wa mara 4 mara 3 KWA WALA UROJO LEO VP KWA HAO WANAOKULA DONA??????Au game haijaisha??
Asante wakukwea pipa, subirin muziki mnene this time,mtajuta kushiriki ligi hahaha
Mkuu mwaka jana Simba day tulipata shida sana, utani ulikuwa ni watu na siku zao na ukizingatia tulifungwa goli tatu kwa hiyo hata wanaume tulijumuishwa kwenye kundi la watu na siku zao. Ilikuwa fedheha kweli.
Mkuu mwaka jana Simba day tulipata shida sana, utani ulikuwa ni watu na siku zao na ukizingatia tulifungwa goli tatu kwa hiyo hata wanaume tulijumuishwa kwenye kundi la watu na siku zao. Ilikuwa fedheha kweli.