Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Leo tarehe 11/02/2015 majira ya saa 10 jioni kutakuwa na kipute cha aina yake pale Azam FC Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara watakapowaalika wakata miwa wa Mtibwa kutoka Manungu, Turiani mkoani Morogoro. Mchezo huo utafanyika katika uwanja wa Azam Complex Jijini Dar es Salaam.
Azam FC inaingia uwanjani ikiwa na kijeraha cha kutoa sare na Polisi Morogoro ya bao 2-2 na Mtibwa Sugar itaingia uwanjani ikiwa na jeraha la kufungwa bao 2-0 na timu ya Wananchi.
Kwa vyovyote vile, huu ni mchezo mgumu kwa timu zote, yafuatayo ni mavuno ya timu hizi kama yanavyoonekana katika msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom 2014/2015 hadi sasa:-
[TD="colspan: 10"]
[/TD]
[TD="width: 30, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 35, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 31, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 28, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 38, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 38, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 40, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 59, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 78, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 114, bgcolor: transparent"] Mtibwa Sugar [/TD]
[TD="width: 30, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 35, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 31, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 28, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 38, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 38, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 40, bgcolor: transparent"]
[/TD]
[TD="width: 59, bgcolor: transparent"]
[/TD]
Hakuna shaka Azam FC itashangiliwa kwa nguvu na 'MIKIA' na Mtibwa Sugar itapata sapoti kubwa kutoka kwa mashabiki wa timu ya Wananchi. Mashabiki wa Azam watapata ahueni pale Steve Azam atakapopata ruksa ya kukaa jukwaa la mikia kwa siku ya leo.
Pamoja na majigambo lukuki kutoka kwa mnenaji wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru, dakika 90 pekee ndizo zitaamua mshindi katika mchezo wa leo.
Makoye Matale anazitakia kila la heri timu zote katika mchezo huo.
==============================
20' Goaaaaaal: Dakika ya ishirini Azam wanaandika bao la kwanza, Kipa anautoa mpira cm chache baada ya mstari hivyo kuhesabika goli.
27' Goaaaaaal: Dakika ya ishirini na saba Azam wanaandika bao la pili, Domayo anafunga bao jingine. Pasi nzuri kutoka winga ya kushoto na Domayo bila papara anaingiza wavuni.
34' Goaaaaaal: Mussa Mohammed wa Mtibwa anarudisha bao moja kwa timu ya Mtibwa baada ya Azam kutofanya marking yao vizuri
40' Goaaaaaal: Kavumbagu anaiandikia Azam bao la tatu baada ya pasi nzuri kutoka kwa sure boy
*Timu zinaenda mapumziko Azam ikiwa inaongoza kwa mabao 3 dhidi ya moja la Mtibwa
*Timu zimerudi kutoka mapumziko na mambo yanaendelea hapa uwanja wa Azam complex
Full Time: Azam 5-2 Mtibwa Sugar.
Azam FC inaingia uwanjani ikiwa na kijeraha cha kutoa sare na Polisi Morogoro ya bao 2-2 na Mtibwa Sugar itaingia uwanjani ikiwa na jeraha la kufungwa bao 2-0 na timu ya Wananchi.
Kwa vyovyote vile, huu ni mchezo mgumu kwa timu zote, yafuatayo ni mavuno ya timu hizi kama yanavyoonekana katika msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom 2014/2015 hadi sasa:-
| Position | Team | P | W | D | L | GA | GF | GD | Points |
2 | Azam FC | ||||||||
[TD="colspan: 10"]
PARTIAL VPL STANDING TABLE
[TD="width: 30, bgcolor: transparent"]
12
[TD="width: 35, bgcolor: transparent"]
6
[TD="width: 31, bgcolor: transparent"]
4
[TD="width: 28, bgcolor: transparent"]
2
[TD="width: 38, bgcolor: transparent"]
10
[TD="width: 38, bgcolor: transparent"]
17
[TD="width: 40, bgcolor: transparent"]
7
[TD="width: 59, bgcolor: transparent"]
22
[TD="width: 78, bgcolor: transparent"]
6
[TD="width: 114, bgcolor: transparent"] Mtibwa Sugar [/TD]
[TD="width: 30, bgcolor: transparent"]
12
[TD="width: 35, bgcolor: transparent"]
4
[TD="width: 31, bgcolor: transparent"]
6
[TD="width: 28, bgcolor: transparent"]
2
[TD="width: 38, bgcolor: transparent"]
9
[TD="width: 38, bgcolor: transparent"]
13
[TD="width: 40, bgcolor: transparent"]
4
[TD="width: 59, bgcolor: transparent"]
18
Hakuna shaka Azam FC itashangiliwa kwa nguvu na 'MIKIA' na Mtibwa Sugar itapata sapoti kubwa kutoka kwa mashabiki wa timu ya Wananchi. Mashabiki wa Azam watapata ahueni pale Steve Azam atakapopata ruksa ya kukaa jukwaa la mikia kwa siku ya leo.
Pamoja na majigambo lukuki kutoka kwa mnenaji wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru, dakika 90 pekee ndizo zitaamua mshindi katika mchezo wa leo.
Makoye Matale anazitakia kila la heri timu zote katika mchezo huo.
==============================
20' Goaaaaaal: Dakika ya ishirini Azam wanaandika bao la kwanza, Kipa anautoa mpira cm chache baada ya mstari hivyo kuhesabika goli.
27' Goaaaaaal: Dakika ya ishirini na saba Azam wanaandika bao la pili, Domayo anafunga bao jingine. Pasi nzuri kutoka winga ya kushoto na Domayo bila papara anaingiza wavuni.
34' Goaaaaaal: Mussa Mohammed wa Mtibwa anarudisha bao moja kwa timu ya Mtibwa baada ya Azam kutofanya marking yao vizuri
40' Goaaaaaal: Kavumbagu anaiandikia Azam bao la tatu baada ya pasi nzuri kutoka kwa sure boy
*Timu zinaenda mapumziko Azam ikiwa inaongoza kwa mabao 3 dhidi ya moja la Mtibwa
*Timu zimerudi kutoka mapumziko na mambo yanaendelea hapa uwanja wa Azam complex
Full Time: Azam 5-2 Mtibwa Sugar.