Hao Kauzu hawajaenda na chifu wao leo au hawana kipa golini?Rashid Gumbo anaipatia Kauzu FC Bao la kwanza
Temeke 3 Kauzu 1
Mkuu shauri na hiyo ligi kuu pia ifutwe...maana ikianza mpaka inaisha hakunaga hata mchezaji mmoja anayechukuliwa nje....ikitokea labda mmoja laaaabdaaMpaka michuano hii inaisha halafu hajapatikana hata mchezaji mmoja mwenye kipaji cha kipekee na kuchukuliwa na Klabu mojawapo ya LigiKuu, nashauri yafutwe!