Mkuu upooo ??!Wale ni wananchi wenzetu na hata uzi unafana. Mwalimu Nyerere alifundisha kuwa Africa ni moja, hivyo Platinum ni ndugu zetu kabisa
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Kila LA heri Namungo.Kila la kheri Simba, kila la kheri ihefu.
Hilo ni jambo la muhumi chief, natamani ikiwa ata droo iwe ya magoli.Sio kwamba tuwaheshimu ???!
Kumekucha amka mkuu uache kuota.Piga hao mikia
Kuhusu Bocco kukaa nje hainistui.SIMBA SC, KUWAKOSA WATANO(5) LEO KIMATAIFA.
SIMBA leo Desemba 23 ikiwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya FC Platinum ya Zimbabwe kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya kwanza itawakosa nyota wake watano.
Nyota hao ni pamoja na :-Bernard Morrison yeye yupo Bongo akiendelea kupata matibabu kwa kuwa hakuwa fiti kiafya. Charlse Ilanfya pia yupo Bongo akiendelea na programu ambayo amepewa na Kocha Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck.
Kipa namba moja Aishi Manula yeye alikaa langoni kwenye mechi mbili zilizopita za kimataifa dhidi ya Plateau United anasumbuliwa na majeraha baada ya kuumia kwenye mchezo dhidi ya KMC, Uwanja wa Mkapa.
Kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu Bara alitumia dakika 45 wakati Simba ikishinda bao 1-0 lililofungwa kwa mkwaju wa penalti na Meddie Kagere.
John Bocco nahodha wa Simba naye pia aliumia kwenye mchezo dhidi ya KMC ulikuwa ni wa Ligi Kuu Bara. Kwa mujibu wa Kocha Mkuu, Vandenbroeck hawa watakosekana kwenye mchezo wa leo.
Thadeo Lwanga, ingizo jipya ndani ya Simba, kwa mujibu wa Barbara Gonzalez ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Simba alisema kuwa kumekuwa na ugumu wa kupata vibali vyake.
Salehjembe.
Hata mm nataka hivo, cha msingi C C Chama awe kwenye ubora wake.Hilo ni jambo la muhumi chief, natamani ikiwa ata droo iwe ya magoli.
Kweli tupu, pia anaviji utovu wa nidhamu.Kuhusu Bocco kukaa nje hainistui.
Morrison ye naye sio mchango wake ktk timu. Alivokuwa Yanga alikuwa na kiwango. Sio huyu wa sasa
Manula ndo pendo kubwa.
Tumwachie kocha
Wewe ni patriot, kongole.Kila la heri watani...
Bora zinapigwa mda mmojaTANGAZO KWA WATEJA WA AZAM MEDIA:
Ndugu wateja wa Azam tunapenda kukufahamisha kuwa kutokana na uwepo wangu mechi za Kimataifa siku ya leo zinazohusu Simba na Namungo,Hivyo mechi ya Yanga vs Ihefu itaoneshwa kwenye channel ya SINEMA ZETU.
Tunaomba rashidi kwa usumbufu uliojitokeza.
Hatari ya Sana, mapemaLeo mnyama anachukua point tatu kiulaini mno
Powered by facebook.TANGAZO KWA WATEJA WA AZAM MEDIA:
Ndugu wateja wa Azam tunapenda kukufahamisha kuwa kutokana na uwepo wangu mechi za Kimataifa siku ya leo zinazohusu Simba na Namungo,Hivyo mechi ya Yanga vs Ihefu itaoneshwa kwenye channel ya SINEMA ZETU.
Tunaomba rashidi kwa usumbufu uliojitokeza.
Ha ha ha ha,TANGAZO KWA WATEJA WA AZAM MEDIA:
Ndugu wateja wa Azam tunapenda kukufahamisha kuwa kutokana na uwepo wangu mechi za Kimataifa siku ya leo zinazohusu Simba na Namungo,Hivyo mechi ya Yanga vs Ihefu itaoneshwa kwenye channel ya SINEMA ZETU.
Tunaomba rashidi kwa usumbufu uliojitokeza.
Kweli mkuu,Tukutane saa 10 kwa Mugabe tukimpiga mtu kimoko cha nguvu, ila tukifungwa ni uzembe wetu & kutokuwa na bahati
Hakika.Simba Nguvu Moja