Live Updates: FC Platinum vs Simba SC, Uwanja wa Taifa - Zimbabwe


Tupo hapa tunafatilia
 
Leo nawai mapema sanaa nakaa mbele kabisa

Ila suluhu itakuwa poa sana kuliko kufungwa goli zaid ya moja.

Tusiende na matokeo mfukoni
Simba SC wengi ni wanamichezo, hivo sidhan kama kuna mtu ataenda na matokeo mfukoni

"Nasema uongo ndugu zangu ???!"
 
Nguvu moja leo ushindi lazima tutampiga hapo hapo kwao huyo Platinum.

Kikosi kikiwa hivi itakuwa bora Sana

1 Beno Kakolanya
2 Shomari Kapombe
3 Zimbwe JR
4 Onyango
5 Wawa
6 Erasto Nyoni
7 Hassan Dillunga
8 Jonas Mkude
9 Made Kagere
10 CC Chama
11 Luis Miqussion.

Hapo tutalinda zaidi hasa eneo la katikati (makosa ya mdhamiru na Ndemla yatatugharimu kwa ugenini Kama wakicheza).
Pia tutaweza kushambulia zaidi kwa kutumia mawinga hao wawili Luis na Dillunga wakisaidiwa na mabeki wa pembeni Shom K na Zimbwe JR .
Eneo la kati kati Jonas Mkude na Nyoni wanaweza kumchezesha Chama pale juu ambaye anaweza kuwa hatari zaidi akitokea katikati huku mbele yake kukiwa na MK14 kwenye box mtu hatari sana.

Pia Nyoni atakuwa na faida zaidi kwa kuwalinda mabeki wa kati Wawa Onyango ( uzoefu utawabeba )

Simba nguvu moja.
 
Mkuu, kati ya Bocco au Manula aidha watacheza wote au atacheza mmoja.

Kumbuka taarifa inasema kucheza kwao ni 50/50.
 
So far, kikosi cha kibabe sana mkuu.
 
Umepanga kikosi[emoji38]

Mzamiru lazima aanze chaguo la kocha

Ngoja tusubiri Kocha atakujaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…