Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni heri muombee mtoke hapa,ila kwa timu hii ya Wazee ikivuka na kupangwa na warabu itakuwa aibu kubwa sanaFc platinums wamecheza sana kwa kuihofia Simba wakicheza hivi Dar es salaam na Simba wakiwa na mipango,mikakati,mpango kazi wakueleweka ana nafasi ya kupita kwenda makundi.
Mo aliachana na uchebe sababu kubwa baada ya simba kutolewa aliona atapata hasara halafu hatumii akili alikataa kumpa mkataba Okwi akidai anataka pesa nyingi huku akitumia pesa nyingine kusajili kina ajibu na wachezaji wengine wasio na msaada, si ajabu tunamlaumi kishingo kuweka wachezaji wenye uwezo benchi kumbe anapokea maagizo toka kwa mo ili aachane nao aokoe pesa ya mishaharaMo ni bahiri wakati anataka mafanikio ndani ya timu, haiwezekani. Anataka timu ifike nusu fainali wakati ndani ya timu hakuna mchezaji ambaye amewahi kuisadia timu yoyote kufika kilele cha mafanikio kwenye mashindano ya Champion League.
Mo sio bahiri ila hana watu sahihi wa kumshauri au labda hashauriki, hii kauli ya kusema tunataka kikosi kipana ni upumbavu mtupu, kuna rundo la wachezaji wasio na faida kwenye timu. Unaweza ukawa na wachezaji wachache bora kwenye timu wakawa na msaada kuliko kujaza akina kahata na ajibu sijui ilanfya uchafu mtupu. Wakati wa usajili ndo tunabugi mazima hata ukiangalia wachezaji tunaowategemea msimu huu ni walewale wa msimu uliopita.Mo ni bahiri wakati anataka mafanikio ndani ya timu, haiwezekani. Anataka timu ifike nusu fainali wakati ndani ya timu hakuna mchezaji ambaye amewahi kuisadia timu yoyote kufika kilele cha mafanikio kwenye mashindano ya Champion League.
Watu wanamshauri kulingana na pesa anayotenga kwa ajili ya usajili. Washauri hawawezi kumshauri kuwasajili wachezaji wa daraja la juu wakati pesa anayotenga ni ya kusajili akina Onyango, Ilanfya, Mugalu, Ame, n.k.Mo sio bahiri ila hana watu sahihi wa kumshauri au labda hashauriki, hii kauli ya kusema tunataka kikosi kipana ni upumbavu mtupu, kuna rundo la wachezaji wasio na faida kwenye timu. Unaweza ukawa na wachezaji wachache bora kwenye timu wakawa na msaada kuliko kujaza akina kahata na ajibu sijui ilanfya uchafu mtupu. Wakati wa usajili ndo tunabugi mazima hata ukiangalia wachezaji tunaowategemea msimu huu ni walewale wa msimu uliopita.
Hadi katolewa maskiniHivi Konde Boy alikuwepo?
Hilo dua LA kuku(UTO). Kamwe haliwezi kumpata mwewe(SimbA.)
Hata wimbo wa taifa Unathibitisha hiloWale ni wananchi wenzetu na hata uzi unafana. Mwalimu Nyerere alifundisha kuwa Africa ni moja, hivyo Platinum ni ndugu zetu kabisa
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Ndio, hilo mbona linafahamika.Kwamba mtapindua meza kwa Mchina ?
Aende wapi?Kocha aondoke tu
Belgium.Aende wapi?
Mwenyewe nimemshangaa, ana maswali yenye majibu.Ndio, hilo mbona linafahamika.
Mkuu kuna siku gemu inakataaa. Au hujawahi kucheza mpira ?!Hadi katolewa maskini
Usikonde mambo yatakuwa sawa.Qmmke siamini walicho fanya leo dah
Sio kweli mkuu , walikuwa bora kwa lipi ?!hapa FC platinum alikua bora zaidi ya leo
Hi ilikua 2015
Haya Sasa Mtani game ya Home maliza kazi utinge 16 bora
View attachment 1657788
Kwamba hana pesa ya kuwalipa ?!Watu wanamshauri kulingana na pesa anayotenga kwa ajili ya usajili. Washauri hawawezi kumshauri kuwasajili wachezaji wa daraja la juu wakati pesa anayotenga ni ya kusajili akina Onyango, Ilanfya, Mugalu, Ame, n.k.
Naungana na wewe yawezekana yeye mwenyewe ndiye anataka akina Kagere wasipangwe mara kwa mara ili ionekane kiwango chao kimeshuka ili wapate sababu ya kuwaacha mikataba yao itakapokwisha.
Mkuu jipige kifua. Kisha sema mm ni SimbA SC.Kama kuna mechi ambayo haijanipa pressure ni hii ya leo ya Platinum 1 - 0 Simba hadi dk 90'. Vyura wenyewe wanajua kuwa tayari Simba anaenda kuingia makundi.
Huu uzi tuutunze kwa ajili ya ukumbusho wa baadaye. Waitress fanya fasta 🍺 nijipongeze kabla ya kuwaua Platinum na Vyura hapo January.