Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Mnyama leo anaingia uwanjani akiwa amenyong'onyea sana baada ya kupoteza wanachama wake kadhaa katika ajali ya basi iliyotokea jana jion. wachezaji na viongozi wa simba wanaingia uwanjani wakiwa na huzuni kubwa sana hasa katika kipindi hiki kigumu.
hata hivyo tutawaletea live updates kati ya Kagera Sugar vs Simba kwa unyonge na huzuni kubwa sana.
MECHI IMEHARISHWA KUTOKANA NA UWANJA KUJAA MAJI . TUTAKUTANA TENA WAKATI UJAO
hata hivyo tutawaletea live updates kati ya Kagera Sugar vs Simba kwa unyonge na huzuni kubwa sana.
MECHI IMEHARISHWA KUTOKANA NA UWANJA KUJAA MAJI . TUTAKUTANA TENA WAKATI UJAO