Ila pia tuseme tu okwi ana mapenzi makubwa na simba bana, mbona kule yanga alikuwa hajitumi hivyo?? kila wakati yeye kuomba udhuru tu kwenda kwao, halafu hata siku anayokuwemo hajitumi kama afanyavyo kwa simba
Results Mgambo 0 - Yanga 2 Ngoja sasa tutizame uchambuzi wa Edo na Mayai mechi hii live AZAM TV2 AZAM Media Flash Page
Simon Msuva na Amis Tambwe waunaji wa Yanga.
Kesho timu yetu ya AZAM vs Coastal inashuka hapo hapo Mkwakwani.
Ulikua hujui eeh? Mimi mbona najua kama wewe ni mikia?Na we kumbe ni shabiki wa Ndala😱
Mzima kabisa aisee na furaha tele!!
Tusubiri hiyo kesho tuone kama Costo watamthibiti huyo kidudu mtu anayetupumilia karibu???
Sisi tukinyamaza, mawe yatapiga kelele!
mna shida team ccm
ni katika kukumbushana tuu. mi nakufunga nachukua ubingwa unaona fahari kumfunga yanga then unafurahia kwa aibu stand united na mgambo:dance::dance:
Unafikiri hiyo link niliyokupa sisi hatukuchukua ubingwa? Hebu kaisome vizuri.
Kakojoe ulale, sisi wenzako tunasherehekea ushindi wa timu yetu.
Yanga yanga yangaaaaaaaaa vidume vya Tanzania
Hakuna ugomvi mkuu, nikukumbushana tu kwamba mwaka ule tuliwafunga na ubingwa tukachukua. Hebu rudi tena kamsikilize jinsi mtangazaji wa TBC1 alivyokuwa anasherehesha.Kwani ugomvi? Mi nimekukumbusha tuu kama wewe ulivyonikumbusha.
Mgambo team piga ndala kama mwaka jana
ukishabikia YANGA hakika hata siku zako Za kuishi hapa duniani zitakuwa nyingi...tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu,,,DAIMA mbele nyuma mikia
# team mikia mpoooooooo?