Live updates, Ligi Kuu Vodacom: Mgambo vs Yanga

Live updates, Ligi Kuu Vodacom: Mgambo vs Yanga

Yanga akishinda leo basi ubingwa ni haki yake mwaka huu!
Maana kuna taarifa kwamba azam kainunua mechi hii ili mgambo ashinde!!!
Azam ndio kagharamia kambi ya mgambo na posho tangu mechi yetu(simba)na hii ya yanga leo!!!
 
Yanga akishinda leo basi ubingwa ni haki yake mwaka huu!
Maana kuna taarifa kwamba azam kainunua mechi hii ili mgambo ashinde!!!
Azam ndio kagharamia kambi ya mgambo na posho tangu mechi yetu(simba)na hii ya yanga leo!!!

Hebu lete kisibitisho kwa ulicho kisema.

Mpira waTanzania ndio maana haiendelei kwa imani hzi.
 
Wekeni updates wakuu.....
yanga haijafanya yake tu?
 
Back
Top Bottom