Nawe kumbe ni wale wale team lambalamba!!!!!Mgambo team piga ndala kama mwaka jana
Yanga akishinda leo basi ubingwa ni haki yake mwaka huu!
Maana kuna taarifa kwamba azam kainunua mechi hii ili mgambo ashinde!!!
Azam ndio kagharamia kambi ya mgambo na posho tangu mechi yetu(simba)na hii ya yanga leo!!!
Goooooooooo
Wekeni updates wakuu.....
yanga haijafanya yake tu?
Goooooooooo
Goooooooooo
itakua man city vs WBA
Hakika yanga atabeba point zote uko tanga km ilivotokea mbeya
Mgambo piga hao yebo yebo