Live Updates: MO Bejaia FC vs Yanga SC at Unite Maghrebine Stadium!

Bora wamefungwa ,,hakuna na kambi ya uturuk wala ugiriki,,na bado TP MAZEMBE wanakuja kujichukulia point,,hahhhha eti ndo wakimataifa yaan mnachoambuliaga sanasana kupanda ndege tuu na kushiriki mashindano na co kushindana...
ila nyie mlivochezea 'libolo' ndo huwa mnashindana
 
Ni lini wachezaji WA Tanzania watajifunza namna ya kufunga magoli? Maana kila siku Ni kukosa magoli Tu umekuwa wimbo . Kocha Hans kazi yake Ni kutengeneza mfumo WA uchezaji wa timu sio kufundisha dribbling nk Nashauri watoto wanaoandaliwa soka wafundishwa namna ya ufungaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…