OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Leo saa 10 uwanja wa CCM Kambarage kitanuka. Yanga itakuwa ikilinda heshima yake kwa Mwadui.
Ninachongea hapa uwanja wa Kambarage kuwaletea moja kwa moja live updates
====
Yanga SC ameibuka na ushindi wa bao moja kwa sifuri dhidi ya Mwadui FC, bao likifungwa na Balama Mapinduzi dakika ya sita kwa pasi safi ya Deus Kaseke katika Uwanja wa Kambalage Mkoani Shinyanga.