Live Updates: Mwadui Vs Yanga SC (Deportivo La Utopolo?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Leo saa 10 uwanja wa CCM Kambarage kitanuka. Yanga itakuwa ikilinda heshima yake kwa Mwadui.

Ninachongea hapa uwanja wa Kambarage kuwaletea moja kwa moja live updates

====
Yanga SC ameibuka na ushindi wa bao moja kwa sifuri dhidi ya Mwadui FC, bao likifungwa na Balama Mapinduzi dakika ya sita kwa pasi safi ya Deus Kaseke katika Uwanja wa Kambalage Mkoani Shinyanga.
 
Laliga wanaongoza moja bila japo mechi ni kali sana.
 
65' Utopolo 1
 

Attachments

  • 103995181_280070559856152_5487343557735526149_n.jpg
    22.1 KB · Views: 2
  • 103995181_280070559856152_5487343557735526149_n.jpg
    22.1 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…