Tuwapongeze mpaka hapo walipofika tokea kua timu ya kijiji,tarafa,wilayani,mkoa,kanda,ligi daraja la pili,la kwanza,azam federation cup ,Vpl na sasa kutuwakilisha africa
Zaidi wajipange timu ipate ufadhiri na usajili na walimu wazuri
Hongera sana kwao