Live Updates Pambano la Yanga na Etoil Du Saheil ( Vijana wa kutoka Tunisia)

Waarab wameanza kupoza gemu...
 
Hopely mmefungwq au hamjashinda thus y sijasikia mikelele yenu hapa mtaani
 
Kweli tunapona au ndo tunaishia hapa?
 
Yanga tunapaswa kushinda mechi hii kuonesha kuwa zile nyingne hazikuwa team mbovu na wala league ya vodacom hatununui mechi. maana hizi habari za kuwa Platinum ilikuwa mbovu na kuwa hapa bongo tunanunua team hili huwa linaniuma sana. HII MECHI LAZIMA TUSHINDE.
 
Hii ngoma huenda ikafika dk120 maana Yanga wana nafasi kubwa sana ya kupata bao sasa hivi.
 
Ahsante Yanga kwa kutufikisha hapa, bahati si yetu hii tunatoka tu. Ila mmecheza vizuri sana.
karibuni tena nyumbani...

Pole nifah zile zawadi, zimeyeyuka dear. Ila Masuke atakupoza zawadi hata ya wiki.

Na nyie mikia msijifanye ndiyo mnaanza kuongea, mjiulize nyie mko wapi???
alamsiki...

#teamyanga #
 
Last edited by a moderator:
Wadau mnaionaje ile kadi nyekundu kwa Eto na bao walilopata? Were they fair?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…