GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
Wadau hapa tutapata Live Update za Pambano la Yanga na waarabu kutoka Tunisa Pambano hili litakuwa hewani leo saa 3 usiku kwa saa za afrika mashariki na ya kati. hapa ndipo tutakata mzizi wa fitina baada ya dk 90 au 120 za kusukuma gozi. Matangazo haya yamewajia kwa hsiani ya Watu wa JAMII FORUMS. Kwa ushirikiano mkubwa na wadhamini wetu...
dk ya 35 ETOILE 1 SISI(YANGA) 0
MPIRA UMEKWISHA MIARABU IMESHINDA MOJA 1.. SISI YANGA 0 ..... HII MIJAMAA NEXT TIME TUIITIE SIMBA TU. YANGA TURUDI KUJIPANGA KWA MAKOMBE YA HAPA HAPA AFRICA MASHARIKI NA BONGO.
dk ya 35 ETOILE 1 SISI(YANGA) 0
MPIRA UMEKWISHA MIARABU IMESHINDA MOJA 1.. SISI YANGA 0 ..... HII MIJAMAA NEXT TIME TUIITIE SIMBA TU. YANGA TURUDI KUJIPANGA KWA MAKOMBE YA HAPA HAPA AFRICA MASHARIKI NA BONGO.