Live Updates Pambano la Yanga na Etoil Du Saheil ( Vijana wa kutoka Tunisia)

Live Updates Pambano la Yanga na Etoil Du Saheil ( Vijana wa kutoka Tunisia)

mkuu GuDume update thread yako au upo hindumandal presha imepanda ?
 
Last edited by a moderator:
Tumejitahidi sana kwa kuwa hatujafungwa mengi. tumetolewa kwa taaaaaaaaaaaaaaaaaaaaabu sana. mpira tumecheza sana. kama barcelona. hawa jamaa wangekuwa ni team moja wapo ya bongo tungewagonga hata 8 . tatizo ni team ya nje na pia wanajiweza. wangekuwa ndo platinum tungewagonga hata 5 huko kwao. kuna siku tutawashinda tu. miarabu ni mihuni sana haina utu hata kidogo. ni mikatili sana.
 
manji anasema tutakata rufaa CAF.
 
YANGA IWATOE WAARAB...???Hahaha!!!... Labda waarabu wa Kondoa!!!!!
 
back to their place!
Kelele nyiiiiiiiiiingiiii, kanunueni tu mechi ya ndanda muonekane wakali! Waarabu hata wangekuwa saba ndala mngetolewa tuu!
 
Back
Top Bottom