financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Yaani kwenye pambano la Daudi kaway nilitamani niingie kwenye TV nimsaidie kumdunda Chris๐๐๐Kaa mbali na hiyo tv ili mizuka ikikupanda ukilusha masumbwi tv ibaki salama.
Hivi hawa wote wabongo mkuu? Mayala ๐คShindano la 7 Sasa Aningia Hassan Mwakinyo Tz Vs Antonio Mayala
Simtaki mimi namtaka babe Class wetu๐๐Yamekuvutia nikuchukulie namba?