LIVE Updates: Rumble in Dar Season 2

LIVE Updates: Rumble in Dar Season 2

Back here...
Sasa ni Round ya 7 Shindano la 6 hili kutoka hapa moja kwa moja.
Vijana hawa wanajitahidi sana ni piga nikupige
 
Round ya 8 ila kama ndiyo wanaanza wana morale sanaa

20210528_223747.jpg
 
Mwisho wa Raundi ya Saba.
Naona kama vijana walitoshana nguvu kabisa hapa.

Si mchezo natamani Mtz ashinde kwa kweli.
Raundi ya 8 ishaanza hapa, Bado Ibra anajitahidi tunajaribu kupiga kelele hapa kumshangiliA Ibra.

Inaonekana amechoka, yapi maejitahidi Ibra hapa
 
Raundi imemlizika hapa ngoja tusikie matokeo wakuu
 
Back
Top Bottom