LIVE Updates: Rumble in Dar Season 2

LIVE Updates: Rumble in Dar Season 2

Round ya 4 ishaanza hapa.
ngoja tuone inakuwaje sasa.
 
Sio mchezo ndugu wana Jf wenzangu.

Ufupi wa Mtz unampa tabu kidogo.
 
Round ya 6 na ya mwisho kwa Mchezo huu sasa
 
Mwisho wa wa Round ya 6 katika Shindano hili la 4 kati ya MtanzaniA Iman Daudi Kaway Vs Msouth Chris Thomson.
 
Back
Top Bottom