Live Updates: Simba SC Vs Biashara,Simba kukabidhiwa kombe

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

Kikosi cha Simba SC dhidi ya Biashara United

Mchezo unapigwa saa 9 alasiri Uwanja wa Taifa. Simba tutakabidhiwa rasmi ndoo ya ubingwa wa nchi na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Kangi Lugola

Updates
FT Simba 1-Biashara 1
Kombe halijakabidhiwa baada ya mgeni rasmi kupata udhuru
 
Biashara watafanya kama Kagera msimu uliopita! Tundu lazima litobolewe
 
Mnyama mkali Simba SC tafuna hao Biashara tunyanyue Kombe kwa furaha.
Simba nguvu moja
Simba bingwa 2018/2019
 
Biashara watafanya kama Kagera msimu uliopita! Tundu lazima litobolewe
Endelea kusubiri bwana mzee ...

Sisi ndio machampioni na hii itaenda back to back mara kumi na mbili
 
Hakuna cha maana hapa bora kwenda kuzurura mjini tu. Mpira unachezwa dimbwini. Simba inashindwa kuonesha ufundi maji ni mengi sana
 
Hivi kamisaa aliyeruhusu mpira uchezwe ana akili kweli?
 
Simba tuchukue kombe letu tu,ila hakuna game hapa. Mpira mpaka uunyanyue ndio upigwe
 
Mchezo huu haukutakiwa kuchezwa kabisa. Yaaani uwanja unaharibiwa na maji wachezaji wanashindwa kucheza vizuri ni madimbwi tupu na wahusika wapo na wanaona hali hii na wapo kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…