Live Updates: Simba vs Kagera Sugar - Oktoba 15, 2016

Live Updates: Simba vs Kagera Sugar - Oktoba 15, 2016

Kadi Tatu za Njano za Kizembe zote, zitagharimu sana mbeleni, tukumbuke tunatumia nguvu kubwa sana kwa sasa hali inayohatarisha maejruhi mbeleni sasa na hili la kadi za kizembe litatuoa kwenye RELI, Juuko kamryukia Mrwanda Kizembe, Muzamiru naye kacheza faulo ya kitoto Mwanjali naye kajitakia kadi ya njao..............sina orodha kamili ya idadi ya njano zao lakini natoa angalizo

Kadhalika tumecheza kawaida sana japo tunashukuru ushindi, walau Mavugo ana japo Kontrol lakini Blagnon ni godoro
kwa ustaarabu huu nna uhakika wewe hukuvunja viti,huu ndo unaitwa uanamichezo,sio hao vichaa wengine wanakuja na porojo wakianza kupigwa wanailaumu yanga.
 
Sifa Moja Ya Shetani Ni Kukataa Ukweli na Katu Haukubali Ukweli..

Na Ukweli Usiopingika Ni Kwamba SIMBA SC ndiye Bingwa Wa Msimu Huu..

Kwahiyo "YEYOTE ANAEKATAA SIMBA KUWA BINGWA MSIMU HUU! HUYO NI SHETANI"..

Mkuu maneno haya ndio yanayofanya watu tupate presha.....
 
Najua Sasahivi Vyura FC wanadowea Wajifariji Kwa Saccos Yao Ya Toto Africa angalau Na Wao Wajihisi Wanajua Kufunga Mengi...
😀😀😀😀😀
 
Kadi Tatu za Njano za Kizembe zote, zitagharimu sana mbeleni, tukumbuke tunatumia nguvu kubwa sana kwa sasa hali inayohatarisha maejruhi mbeleni sasa na hili la kadi za kizembe litatuoa kwenye RELI, Juuko kamryukia Mrwanda Kizembe, Muzamiru naye kacheza faulo ya kitoto Mwanjali naye kajitakia kadi ya njao..............sina orodha kamili ya idadi ya njano zao lakini natoa angalizo

Kadhalika tumecheza kawaida sana japo tunashukuru ushindi, walau Mavugo ana japo Kontrol lakini Blagnon ni godoro
Mkuu nimefatilia ligi mpaka sasa tuko vizuri ila leo Kagera walikuwa vizuri sana timu ambazo zilitupa wakati mgumu ni Azam, mtibwa, kagera....Ruvu sikuitazama
 
Mkuu nimefatilia ligi mpaka sasa tuko vizuri ila leo Kagera walikuwa vizuri sana timu ambazo zilitupa wakati mgumu ni Azam, mtibwa, kagera....Ruvu sikuitazama
Hilo ni kweli kabisa, HUENDA ndiyo sababu iliyofanya watifiche nimependa sana Kiungo ALLY NASSORO, MKUDE alipotea mara kadhaa kwa yule kiungo, kifupi walicheza kwa kutulia sana saluti kwa Maxime
 
Hilo ni kweli kabisa, HUENDA ndiyo sababu iliyofanya watifiche nimependa sana Kiungo ALLY NASSORO, MKUDE alipotea mara kadhaa kwa yule kiungo, kifupi walicheza kwa kutulia sana saluti kwa Maxime
kuna wakati walikuwa wametuzidi kabisa kabla hatujafanya mabadiliko na timu kurudisha uhai na kupata goli la pili...
Maxime ni bonge la kocha hakika Kagera wamecheza kwa mipango kuliko hata Mbeleko FC tulipo cheza nao...
 
kuna wakati walikuwa wametuzidi kabisa kabla hatujafanya mabadiliko na timu kurudisha uhai na kupata goli la pili...
Maxime ni bonge la kocha hakika Kagera wamecheza kwa mipango kuliko hata Mbeleko FC tulipo cheza nao...
Hapa sasa mnaongelea mpira na tunapaswa kukaza sana maana kila timu itakuwa inatukamia sasa. Ila huwaga Kagera wanatusumbua sana. Kikubwa tumepata point tatu muhimu. Kesho Azam wakaze ili wakishindwa japo wapate sare.
 
Mavugo anahitaji muda mwingi wa kutuliza akili, anahitaji aachane na uchoyo aliokuwa nao, anaweza asifunge lakini akitoa pass za mwisho inampa sana Credit... Mechi nyingi nineangalia huwa ana tabia ya uchoyo... Pale anapohitajika kutoa pass ya mwisho ya V ye anaamua kupiga golini, hii inamjengea chuki ya ubinafsi kwa wenzake... Lazima kocha amwambie, tumemnunua kwa bei ghali na mkataba mnono tusimwache isije ikatucost kama ile ya Tambwe, Hope atakuwa kwenye peak tu kama sio now basi msimu ujao
 
Enzi Za JK na Mwanae Ridhi Mbeleko FC walikuwa Na Fujo Kweli!!! Kumbe Walikuwa Wakiringia Supporta Ya Prezdt... Sasahivi Wamekodishwa wacha Mnyama Awatokelezee Kimtindo..
 
Simba kumbukeni kua stand utd tunawasubiri mjilete kambarage tuwafumue kamoja tu.
 
Back
Top Bottom