Live Updates: Simba Vs Yanga - Uwanja wa Taifa, Dar (Disemba 21, 2013 - Nani Mtani JEMBE?)

Beki ya Simba imechora mstari kwa kizungu huitwa end line.
 
Anakamata vema kabisa Ivo Mapunda.
 
Leo ushindi wa kimbunga.
cc. Katavi
 
Last edited by a moderator:
dk 11
MTANI JEMBE,
Simba 0-0 Yanga
 
Mpaka sasa dakika ya 13 Juma Kaseja hajadaka mpira.
 
Msihofu wametangulia tu,hawa jamaa hawana kitu wamefulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…